Wednesday, July 13, 2011

EPIQ NATION YAFANA COCOBEACH


Jumapili, iliyopita kampuni ya Simu za Mkononi ya Zantel kupitia Bidhaa yake mpya ya EPIQ NATION iliandaa tamasha kabambe la muziki pale Coco beach kwa ajili ya vijana. 
Wasanii mbalimbali walikuwepo kutoa burudani ikiwemo Mwasiti, Diamond, Chidi Benz na Nameless Kutoka Kenya. Pia kulikuwa na ma underground kibao waliopewa fursa ya kuonyesha vipaji vyao vya kuimba, kuchana pamoja na kudansi Diamond akiwa jukwaani

No comments:

Post a Comment