Monday, June 27, 2011

Aunt ezekiel atia kinyaa kwa kuvaa nusu uchi kigali-rwanda

 

Yule muigizaji wa kimataifa wa nchini tanzania ambae majuzi akiongozana na baadhi ya waigizaji wa dar ametia kinyaa uwanja wa kigali na kufikia kila mtu kuanza kutukana kinyarwanda
aikuwa rahisi kusikia mnyarwanda akisema aiseee watanzania ni maraya sana aisee embu kumwona kale kabint kweri kamepanda ndege hata siamini kamewezaje kupita uko....

Huku wengine wakisema wanawake wa kitanzania awana aibu wara awajiheshimu wengi waliishia kumfwata na kuangalia mapaja yake huku wakati akikaa sehemu za nguo za ndani kutuna kama if kuna mdudu anataka kutoka.....Kwa wale watanzania mkienda kwa watu embu jiheshimuni jamani
hapa mnaona wanwake wote ndio wanatukanwa sio huyuhuyu tu mnaonekana wote baraya ba kibongo

 

No comments:

Post a Comment