Monday, June 27, 2011

Aunty Ezekiel the most sexiest gal in Tz...........................!

Aunt Ezekiel 
Kufuatia mvutano ulioibuka nchini juu ya msichana namba one kwa mvuto wa mahaba blog yako hii inatiririka na full habari kutoka chini ya kapeti. Taarifa za kina ambazo zinafuatia kura za wadau kwa week mbili mfululizo uchunguzi ulioendeshwa na moja ya kampuni kubwa kabisa ya burudani nchini yenye makao yake makuu pande za city centre posta umeanika wazi kuwa star wa filamu ambaye anatajwa kuwa ndo laaziz wa moyo wa nguli Steven Kanumba bibiye machachari Aunty Ezekiel ni moto wa kuotea mbali kwa jinsi alivyoumbika kuanzia figure, reception na mapozi ya aina yake vitu ambavyo kwa ujumla wake vinatajwa kuwatoa udenda madume wengi kila pembe ya bongo ambao hawaachi kumzonga zonga mrembo huyo kila uchao.

No comments:

Post a Comment